milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 631
siwezi ku-reveal particulars zangu zote hapa. mambo mengine tutaongea PM. Hii ni kwa mtu aliye serious tu.
Habari wakuu.
Nina kimgahawa changu kadogo maeneo ya dodoma mjini kuna movement kubwa Y watu.
kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhani nimepanga kupika futari kwa ajili ya kufuturu.
Nina mpishi wa kimataifa, akikupikia lazima kesho urudi yaan unaweza kutoka singida ukafuata chakula dodoma.
mgahawa haupo kwenye location nzuri sana ila una kila kitu.
Natafuta partner tupige hela. hapa jirani kuna eneo la wazi tunaweza tukaweka turubai fulani hivi za kisasa mazingira safi tunakua tunaandaa futari...wakati wa mchana tunapika chakula kwa ajili ya watu wengine.
Nahitaji mtu atakayeweza kutoa 1.2M tuunganishe nguvu. This idea is bright, naomba mtu aliye serious anicheki PM tuanze kazi haraka iwezekanavyo.
Akinicheki tunaonana kabisa kwanza mgahawan kwangu nimpe mchongo mzima.
wafanyakazi wasafi na smart ninao tayari.
Habari wakuu.
Nina kimgahawa changu kadogo maeneo ya dodoma mjini kuna movement kubwa Y watu.
kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhani nimepanga kupika futari kwa ajili ya kufuturu.
Nina mpishi wa kimataifa, akikupikia lazima kesho urudi yaan unaweza kutoka singida ukafuata chakula dodoma.
mgahawa haupo kwenye location nzuri sana ila una kila kitu.
Natafuta partner tupige hela. hapa jirani kuna eneo la wazi tunaweza tukaweka turubai fulani hivi za kisasa mazingira safi tunakua tunaandaa futari...wakati wa mchana tunapika chakula kwa ajili ya watu wengine.
Nahitaji mtu atakayeweza kutoa 1.2M tuunganishe nguvu. This idea is bright, naomba mtu aliye serious anicheki PM tuanze kazi haraka iwezekanavyo.
Akinicheki tunaonana kabisa kwanza mgahawan kwangu nimpe mchongo mzima.
wafanyakazi wasafi na smart ninao tayari.