Nahitaji Oven ya Kuokea mikate ya Meza ya Bwana.

Nahitaji Oven ya Kuokea mikate ya Meza ya Bwana.

Amba Samedi

Senior Member
Joined
Apr 5, 2024
Posts
193
Reaction score
326
Habari wanaJF,
Nimekuja kwenu na ombi. Kama kuna mfanyabiashara wa OVEN hapa naomba tuonane. Cha msingi, nahitaji kukitumia kanisani. Iweze kutumia gesi na umeme. Plate 2 au 3. Naomba uniandikie. Whatsapp ni 0748707707
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom