Sista Sophia
Member
- Feb 6, 2010
- 50
- 26
Habari zenu wana jamii forums.
Jamani mwenzenu nahitaji mwenza,umri unanituma mkono.
>Umri wowote ule isiwe zaidi ya 50.Mie nina 29 years old almost kama 30 hivyo naona umri unakimbia.
>Awe na dini yoyote, mie muislamu ila naweza kubadili dini nikipata mkristo.
>Elimu atleast awe na bachelor, mimi nina masters.
>Awe mtu anayejipenda, i mean awe smart.
Sina mengi zaidi ni hayo tu.Mwenye sifa atume maombi.
nimesha ku-PM, nangojea majibu!Mwenye sifa atume maombi.
Habari zenu wana jamii forums.
Jamani mwenzenu nahitaji mwenza,umri unanituma mkono.
>Umri wowote ule isiwe zaidi ya 50.Mie nina 29 years old almost kama 30 hivyo naona umri unakimbia.
Hii imekaa ki-zekomedi komedi hivi. Ingefaa zaidi ku-feature kwenye jokes forum!Habari zenu wana jamii forums.
Jamani mwenzenu nahitaji mwenza,umri unanituma mkono.
>Umri wowote ule isiwe zaidi ya 50.Mie nina 29 years old almost kama 30 hivyo naona umri unakimbia.
>Awe na dini yoyote, mie muislamu ila naweza kubadili dini nikipata mkristo.
>Elimu atleast awe na bachelor, mimi nina masters.
>Awe mtu anayejipenda, i mean awe smart.
Sina mengi zaidi ni hayo tu.Mwenye sifa atume maombi.
Ohh. umekumbuka shuka usubuhi eeh? Nways, nataka kujua uzito wako ktk kg nikuelekeze kwa mtu descent kabisa ambaye yuko serious.
NB: I assume hauna uhusiano na UWT.
Duh,uzito wa nini au ni katika harakati za kuavoidi makonde siku ya siku,teh teh
Habari zenu wana jamii forums.
Jamani mwenzenu nahitaji mwenza,umri unanituma mkono.
>Umri wowote ule isiwe zaidi ya 50.Mie nina 29 years old almost kama 30 hivyo naona umri unakimbia.
>Awe na dini yoyote, mie muislamu ila naweza kubadili dini nikipata mkristo.
>Elimu atleast awe na bachelor, mimi nina masters.
>Awe mtu anayejipenda, i mean awe smart.
Sina mengi zaidi ni hayo tu.Mwenye sifa atume maombi.
Kama unaweza ukamuacha MUNGU wako............. huyo mume si utamuacha pia......???
>Awe na dini yoyote, mie muislamu ila naweza kubadili dini nikipata mkristo.
>Awe mtu anayejipenda, i mean awe smart.
Sina mengi zaidi ni hayo tu.Mwenye sifa atume maombi.
Kama unaweza ukamuacha MUNGU wako............. huyo mume si utamuacha pia......???
Nani kakuambia anatafuta mume? ........ YEYE MWENYEWENani kakuambia anatafuta mume? Umejuaje kama yeye ni mwanamke?
Nani kakuambia anatafuta mume? ........ YEYE MWENYEWE
Umejuaje kama yeye ni mwanamke? ................. JINA LAKE
Kwani CHRISPIN ni jina la mwanamke au mwanaume...........????
Hapana! Amesema anatafuta MWENZA. Anaweza kuwa mwanamke anayetaka kuoa mwanamke mwenzie. Au anaweza kuwa mwanaume pia.
Jina Si Kigezo. Kuna watu wanaitwa anti Oliver lakini ni wanaume.
Chrispin ni jina la mwanaume kwa kuwa mwanaume huyu alithibitisha kuwa yeye ni mwanaume.