Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,018
khee, idadi haihusu...??? Kwa hiyo mtungo unahusika..??? We miaka 24 huogopi idadi...??? Kwa taarifa yako, umalaya si idadi ya mabao uliyochabangwa, bali idadi ya wanaume waliokuchabanga mabao hayo... Kwa mfano, Kama bao 10 mwanaume mmoja, si umalaya, ila kama bao 10 wanaume kumi, huo umalayakwani nawe unataka? idadi inakuhusu nini? ishia zako
Yatapanda sana kwa nyie wazinzi, ukiambiwa kula bata unajua ni kutiana tu ishia zako
Yatapanda sana kwa nyie wazinzi, ukiambiwa kula bata unajua ni kutiana tu ishia zako
Hiyo ni love connect na si umalaya kwa watoto wadogo connect....inakuhusu ikiwa ya fb, ikiwa ya twitter ni yangu
unajua maana yalove connect au unaleta shobo tu hapa
Huyo bata bata gani bata mzinga au?kashachinjwa,kunyonyolewaNahitaji mwanaume wa kula nae bata za dunia, sihitaji commitment mapenzi yashanichosha, nishaumia sana. naomba kueleweka sihitaji mvulana ila mwanaume....walio serious tu tuwasiliane.
Umri wangu ni miaka 24, mjasiriamali.
Ahsanteni.
Mm niko ni pm
kama ni bata tu sawa! ila mizinga ya kipumbavu ukiniletez me nakupa kipiga, unajua nyinyi watoto wakati mwingine mnajifanya mnataka kula bata kumbe malengo yenu ni kujikwamuz kimaisha,! Raha ya kula bata bwana ni kutokua kabusa na mawazo ya kimajukunu sa ntashangaa we wataka bata kumbe shida za maisha zimekujaa!
User Name: Le' baby
User Title: Member
Last Activity: 27th June 2013 15:13
Tangu ulipopost maombi yako haya hujarudi kumchukua bata wako, je utampata kweli?
Mie nakula mwewe zaidi kama uko poa njoo uwajaribu, maana bata sina!
Kwa maneno haya, humpati mtu... Nakushauri uwafuate waliokuchosha na ukarudiane nao..ntaanza kumuua mshua wako kabla sijaua wengine, hapa ni love connect toa umbea