Nahitaji mwanaume alietaliki au kufiwa na mkewe

Nadhani hii email account
PHP:
matyshirima@gmali.com
imeisha kuwa overloaded, Kila nikijaribu kutuma maombi kwa niaba ya rafiki yangu Fidel naona zanirudia.

......he!he!heee....daah huyu kijana namtafuta sana kwaajili ya hii issue naona mama yupo serious hapa.....though email zinabaunsi beki! mchungaji ebu piga neno.....!
 
......he!he!heee....daah huyu kijana namtafuta sana kwaajili ya hii issue naona mama yupo serious hapa.....though email zinabaunsi beki! mchungaji ebu piga neno.....!

Najaribu kukeme lakini bado! Nguvu ya shetwani ni kubwa. Ila aweke na namba ya simu ili niongee naye kwa niaba ya Fidel80
 
Najaribu kukeme lakini bado! Nguvu ya shetwani ni kubwa. Ila aweke na namba ya simu ili niongee naye kwa niaba ya Fidel80

Simu mtandao utakata, maana shetani ana nguvu ya ajabu. Ukishindwa tutaarifu tumkemee pamoja!
 
Simu mtandao utakata, maana shetani ana nguvu ya ajabu. Ukishindwa tutaarifu tumkemee pamoja!

Ila nimeshauri Fidel kwanza ampime kila kitu na asijaribu ule mchezo wake! Arudie tena kipimo kikubwa baada ya miezi mitatu. Kama itakuwa poa basi ajiexpress kurudi nyuma.
 
Nadhani hii email account
PHP:
matyshirima@gmali.com
imeisha kuwa overloaded, Kila nikijaribu kutuma maombi kwa niaba ya rafiki yangu Fidel naona zanirudia.

Mchungaji mbona unausemea moyo wa Fidel :becky::becky::becky::becky:
 
Wadau mimi sijui nijiite mdada au mmama, nina miaka 30 na nina mtoto mmoja ana miaka tisa. Nina kazi yangu nzuri kiasi inakidhi my basic needs including food, clothes and shelter.
Nimekaa najisikia mpweke nahitaji mwanaume ambaye ameshataliki au mkewe bahati mbaya amefariki lakini sio na ukimwi na ikiwezekana awe na mtoto mmoja tuishi pamoja na kulea watoto wetu kwa upendo na amani tele. Kama uko interested na uko serious kwani sihitaji uhusiano wa kupita nahitaji strong relationship nimezunguka zunguka sasa nahitaji kutulia. waweza wasiliana na mimi kwa kupitia matyshirima@gmali.com

.....Kudadadeki hapa bibie katuingiza town aiseeeee.......ebuu chunguzeni hiyo email vizuri.....! hakuna GMALI but gmail bana.....Mchungaji SITUKA hapo.....! vinginevyo bibie aombe msamaha keyboard ilitikisika sana wakati anaweka hiyo email.....!
 
Kumbe wewe ndio mshenga wa Fidel!!!!

Huyu mpwa wangu siwezi fanya lolote bila kumshirikisha

......he!he!heee....daah huyu kijana namtafuta sana kwaajili ya hii issue naona mama yupo serious hapa.....though email zinabaunsi beki! mchungaji ebu piga neno.....!

Hata mm nipo serious hommie hapa mm akikubali tu nawapa miezi 6 mwanze kuniletea michango ya harusi

Najaribu kukeme lakini bado! Nguvu ya shetwani ni kubwa. Ila aweke na namba ya simu ili niongee naye kwa niaba ya Fidel80

Akiweka namba ya simu atarahisisha mawasiliano na mm nimejaribu zinagongwa mwamba

Mchungaji mbona unausemea moyo wa Fidel :becky::becky::becky::becky:

Jamani mchungaji ni mpwa wangu hakiharibiki kitu hapo..
 
Huyu mpwa wangu siwezi fanya lolote bila kumshirikisha



Hata mm nipo serious hommie hapa mm akikubali tu nawapa miezi 6 mwanze kuniletea michango ya harusi



Akiweka namba ya simu atarahisisha mawasiliano na mm nimejaribu zinagongwa mwamba



Jamani mchungaji ni mpwa wangu hakiharibiki kitu hapo..

.....homu boi tupe maendeleo.......bana! umegeuza hiyo ...GMALI to gmail ikagoma pia?
 
Nadhani hii email account
PHP:
matyshirima@gmali.com
imeisha kuwa overloaded, Kila nikijaribu kutuma maombi kwa niaba ya rafiki yangu Fidel naona zanirudia.
watu kumbe mnafanya kweli :becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:
 
Back
Top Bottom