Mshimba1971
Member
- Dec 13, 2021
- 75
- 66
Wadau salaama!
Nahitaji huduma ya mwanasheria(advocate) kwaajili ya kuthibitisha(certify) vyeti vyangu na baadhi ya documents. Awe maeneo ya Bunju au karibu na huko. Nicheck inbox kama una any leads.
Nahitaji huduma ya mwanasheria(advocate) kwaajili ya kuthibitisha(certify) vyeti vyangu na baadhi ya documents. Awe maeneo ya Bunju au karibu na huko. Nicheck inbox kama una any leads.