Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

Mwanamke wa kuzaa nae!? Yaani hapo tayari una mimba, unatafuta wa kwenda nae leba ama..

Writen whaili yuzing marijuana.
 
Mkuu kilo zako ni nyingi mno, una kitambi?
Kilo 80 si nyingi kiviiile.. Ila shida kwa kimo chake na hizo kilo 80, inafikirisha kidogo..

Ila kisiwe kikwazo naimani anaweza kuikwea mbususu vizuri tu, mtunuku mtoto jamaa.
 
my sweetheart ur welcom

Jamani wataalamu wa hii lugha 'ur' maana ya neno hili tafadhari.na kirefu chake ni kipi?
 
my sweetheart ur welcom

Jamani wataalamu wa hii lugha 'ur' maana ya neno hili tafadhari.na kirefu chake ni kipi?
 
Amani na iwe nanyi!

Nahitaji mwanamke wa kuzaa nae

Wasifu wangu
1. Umri : Mtu mzima (Matured)40+ Years
2. Urefu: 5.6 Futi
3. Uzito: 80 Kg.
4. Rangi: Maji ya kunde
5. Kazi: Mjasiriamali
6. Elimu Degreee
7. Polite in nature
8. Hobbies Napendelea Kusoma vitabu (Addicted to reading books)
9. I am a family man na ninapenda watoto
10. Makazi: Arusha

Mwanamke ninaemuhitaji
1. Umri: 28 - 34 years
2. Urefu: 4 - 5 Futi
3: Uzito: 60 - 90 Kgs
4. Rangi: Yoyote
5: Kazi: Awe anajishuhulisha
6: Elimu: Kuanzia form 4
7. Awe mpole
8. Apendelee kuongeza ufahamu wake
9.Lazima awe na mtoto si zaidi ya mmoja..
10. Makazi: Arusha au mikoa ya jirani

kwa mawasiliano zaidi jublant@yahoo.com
Tambua kwamba kila email itajibiwa
Karibuni : my sweetheart ur welcom
Ukimpata muoe kisha zaaa nae
 
CASE CLOSE
Napenda kuwajulisha kuwa niliyekuwa namuhitaji amepatikana. Ni ....27
Ndie mwanamke pekee aliyekuwa interested na akanitumia mwaliko na kwa maongezi niliyofanyanaye tokea Jana mwanga nauona..

Hivyo basi napenda kutoa shukrani za pekee kwa wale Wote waliochangia kwa namna yoyote ili kuboresha, kukebehi, na kufurahusha..

Wengine walijiuliza kwani huko mtaani siwaoni wanawake?..

Wapo wengi ila kupata anayeamini unachoamini itachukua muda mrefu sana.

Hivyo basi kuanzia Sasa sitajibu email, pm yoyote Ile kwani nimeshampata niliyemhitaji...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom