Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Niaje Wakuu Baada ya kufanikiwa Kununua laptop kuna kachenji kamebaki.. kama 400K hivi.
Si Mnajua Geto la Mwanaume halijakamilika Bila laptop na mziki fulani wa kiaina.
Kwa wataalamu wa masuala ya mziki na gharama zake je naweza pata mziki gani unaoridhisha kwa hio pesa? Iwe Woofer au HT.
Asanteni!
Cc: Extrovert kcamp Chief-Mkwawa funzadume Behaviourist troublemaker na wengine wengine wengi ambao sijawataja.
Si Mnajua Geto la Mwanaume halijakamilika Bila laptop na mziki fulani wa kiaina.
Kwa wataalamu wa masuala ya mziki na gharama zake je naweza pata mziki gani unaoridhisha kwa hio pesa? Iwe Woofer au HT.
Asanteni!
Cc: Extrovert kcamp Chief-Mkwawa funzadume Behaviourist troublemaker na wengine wengine wengi ambao sijawataja.