Nahitaji Muziki kwa laki nne

Jana nilipita njia hii ya sanyajuu kule boma mitaa ya tanesco wanaunda unda miziki ya mikubwa kubwa , nilikuta mjomba mmoja anaitwa billy, ni anatumia speaker za gari mwanzo mwisho kuunda miziki, aloo nilikuta kafunga bass la kenwood ile single coil watts rms 400 na vimidrange vya pioneer halafu kaunga na powered mixer ya kawaida tu , aloo ile sound inayotoka pale sio poaaaaaaaaa mamaaeeeeee jamaa anajua kutune mziki balaa
Punguzeni hasira wazee
 
Jana nilipita njia hii ya sanyajuu kule boma mitaa ya tanesco wanaunda unda miziki ya mikubwa kubwa , nilikuta mjomba mmoja anaitwa billy, ni anatumia speaker za gari mwanzo mwisho kuunda miziki, aloo nilikuta kafunga bass la kenwood ile single coil watts rms 400 na vimidrange vya pioneer halafu kaunga na powered mixer ya kawaida tu , aloo ile sound inayotoka pale sio poaaaaaaaaa mamaaeeeeee jamaa anajua kutune mziki balaa
Hahaha huyo jamaa atakuwa mtundu wa hivi vitu. Ni hatari sana huo mchanganyiko.
 
Kama unahitaji mziki wa kawaida ila mzuri na unapewa na warranty ya miaka miwili nenda katafute Subwoofer za VON tena za laki nne na kuendelea zina FM, USB na Bluetooth. Kuna kipindi nilikuwa nazunguka natafuta mziki mkubwa nikapita duka moja Kariakoo wakanitestia VON ingawa sikuinunua ila mziki wake niliukubali maana ni tofauti na subwoofer nyingine hata kwa mwonekano na mdundo

Nenda kachukue huo mziki haoutojuta
 
Back
Top Bottom