Nahitaji mume wa Kiislam

Nahitaji mume wa Kiislam

Kwa utafuti mdogo wanaume wa kislam wana wah sana kuowa out ya mkristo.so jipange kuwa mke wa pili.but if u like me pm nina 27 mkristo ila nimekupenda maneno yako
 
Uislamu ni pamoja na wake wengi nnasistiza jipime uislamu wako mche mungu omba mume mwema
 
Wapendwa na mimi najitokeza kujitafutia mwenza kama yupo anaye kidhi vigezo namkaribisha.


- Awe Muislam wa umri wa kuanzia 35 hadi 45 hivi

- Awe na Elimu kuanzia Diploma na kuendelea na awe ameajiriwa au kujitegemea
- Awe hajaoa ila kama ana mtoto mmoja sio tatizo
- Awe anajimbua/anajua wajibu wa mume kwenye familia
- we na Afya njema na mcha Mungu

- Mimi nina umri wa kuanza maisha
- Nina Elimu ya Chuo Kikuu
- Nina kazi- Nimeajiriwa Serikalini
- Sijaolewa wala sina mtoto
- Ni mcha mungu na nina Afya njema
- Ni mwembamba – mrefu wa wastani (162cm hivi)

Mengine karibu to chat

je n bikira?????au walisha vunja?
 
Wapendwa na mimi najitokeza kujitafutia mwenza kama yupo anaye kidhi vigezo namkaribisha.


- Awe Muislam wa umri wa kuanzia 35 hadi 45 hivi

- Awe na Elimu kuanzia Diploma na kuendelea na awe ameajiriwa au kujitegemea
- Awe hajaoa ila kama ana mtoto mmoja sio tatizo
- Awe anajimbua/anajua wajibu wa mume kwenye familia
- we na Afya njema na mcha Mungu

- Mimi nina umri wa kuanza maisha
- Nina Elimu ya Chuo Kikuu
- Nina kazi- Nimeajiriwa Serikalini
- Sijaolewa wala sina mtoto
- Ni mcha mungu na nina Afya njema
- Ni mwembamba – mrefu wa wastani (162cm hivi)

Mengine karibu to chat

Kwa nini muislam? we una udini.
 
wanangu chukueni urefu wa baba na mama yenu, huku mtaani kimenuka kwa wafupi
 
Mwanaume wa kiislamu mwenye umri kuanzia 35 ni vigumu kumkuta hajaoa sana sana atakudanganya akuoe mke wa pili
Kuwa makini
Hope umejipanga kukabiliana na matapeli
But kama uko tayari kuwa mke wa pili sio mbaya pia kwa umri wako
Tatizo makafir mnapenda zinaa ndio maana wazito kuoa
 
Wapendwa na mimi najitokeza kujitafutia mwenza kama yupo anaye kidhi vigezo namkaribisha.


- Awe Muislam wa umri wa kuanzia 35 hadi 45 hivi

- Awe na Elimu kuanzia Diploma na kuendelea na awe ameajiriwa au kujitegemea
- Awe hajaoa ila kama ana mtoto mmoja sio tatizo
- Awe anajimbua/anajua wajibu wa mume kwenye familia
- we na Afya njema na mcha Mungu

- Mimi nina umri wa kuanza maisha
- Nina Elimu ya Chuo Kikuu
- Nina kazi- Nimeajiriwa Serikalini
- Sijaolewa wala sina mtoto
- Ni mcha mungu na nina Afya njema
- Ni mwembamba – mrefu wa wastani (162cm hivi)

Mengine karibu to chat
una wowowo kubwa au mizinguo tuu?
 
Nipo hapa. Kama bado hujapata amini mungu amekusudia uwe mke wangu cont.+255682007203
 
Tatizo makafir mnapenda zinaa ndio maana wazito kuoa

Nyie mnaoingilia wake zenu kinyume na maumbile na sisi nani makafir
mfyuuu
mnafuga na majini
yani mambo ya uchafu uchafu yote mnayo afu mnajifanya wasafi
washirikina nyie
 
Nyie mnaoingilia wake zenu kinyume na maumbile na sisi nani makafir
mfyuuu
mnafuga na majini
yani mambo ya uchafu uchafu yote mnayo afu mnajifanya wasafi
washirikina nyie
wahaya tabia zenu tunazifahamu! wewe umemuona wapi mke wa kiislam akifanywa hivyo? kwani wake wa makafir hawafirwi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom