Nahitaji mume wa Kiislam

Nahitaji mume wa Kiislam

Ndio kaka, binafsi mtu mfupi simtaki hata kumuona, maana wanaongea sanaaa, hawajiamini, ukiongozana nae mara akushike mkono, anaongea kwa sauti ili kila mtu awaone mnapita, mimi aiseee!! vishort mmhhmm!!!!!!!! bora kuexpire kwa kweli ila sio kuishi na mtu akisema tutoke unamwambia nenda tu. mwanamke mrefu raha awe giant fulani bhana!!



Wakati mwingine pesa inachangia.
Kama wanapendana vizuri

Nadhan tunatoka nje ya mada..
Tuache mwwnye kutafuta mume atafute.




Hii mada inabid tuianzishie thread il watu walete experience zao
 
Mtu akiniambia niko selective na mshangaa kwani sjaona cha ajabu nimeandika hapo?
Mimi nina miaka 31 nimeomba mtu wa angalau age ya 35 and above; nikiacha open nitapata lunndle la serengeti boys

Elimu nimeweka japo Diploma, Kimsingi tofauti ya Elimu ilkwa kubwa sana hasa kwa mwanamke mwanamme hujihisi anadharauliwa...
Unajua sikuhisi na hiki kiswanglish...unaweza kupewa kesi ya kudharau ambayo hujakusudia...
Kama kuna chengine cha ajabu mtu aniambie ni rebishe...

Nao wengi wana sema ni pm??? kama wana sifa naomba wao wani pm please
Asante
 
Mtu akiniambia niko selective na mshangaa kwani sjaona cha ajabu nimeandika hapo?
Mimi nina miaka 31 nimeomba mtu wa angalau age ya 35 and above; nikiacha open nitapata lunndle la serengeti boys

Elimu nimeweka japo Diploma, Kimsingi tofauti ya Elimu ilkwa kubwa sana hasa kwa mwanamke mwanamme hujihisi anadharauliwa...
Unajua sikuhisi na hiki kiswanglish...unaweza kupewa kesi ya kudharau ambayo hujakusudia...
Kama kuna chengine cha ajabu mtu aniambie ni rebishe...

Nao wengi wana sema ni pm??? kama wana sifa naomba wao wani pm please
Asante

Ki msing hamna mtubaliekuambia upo selective..
ila walikua wanazungumzia character za wanawake warefu generally..sio wewe
 
Mtu akiniambia niko selective na mshangaa kwani sjaona cha ajabu nimeandika hapo?
Mimi nina miaka 31 nimeomba mtu wa angalau age ya 35 and above; nikiacha open nitapata lunndle la serengeti boys

Elimu nimeweka japo Diploma, Kimsingi tofauti ya Elimu ilkwa kubwa sana hasa kwa mwanamke mwanamme hujihisi anadharauliwa...
Unajua sikuhisi na hiki kiswanglish...unaweza kupewa kesi ya kudharau ambayo hujakusudia...
Kama kuna chengine cha ajabu mtu aniambie ni rebishe...

Nao wengi wana sema ni pm??? kama wana sifa naomba wao wani pm please
Asante
Miaka hiyo yote ulikuwa wapi? Ina maana you are selective ndio maana bado hujapata wa kukuoa. You'll never find a guy with all those qualities in compact. Punguza la sivyo utaangaika old lady na hutompata.
 
Ndio kaka, binafsi mtu mfupi simtaki hata kumuona, maana wanaongea sanaaa, hawajiamini, ukiongozana nae mara akushike mkono, anaongea kwa sauti ili kila mtu awaone mnapita, mimi aiseee!! vishort mmhhmm!!!!!!!! bora kuexpire kwa kweli ila sio kuishi na mtu akisema tutoke unamwambia nenda tu. mwanamke mrefu raha awe giant fulani bhana!!



Wakati mwingine pesa inachangia.

Kama wanapendana vizuri

IMG_20150829_015712.JPG

Shikamoo Boss lady
 
Last edited by a moderator:
Tupishe bhana na ham zako za kuolewa, hapa ni hbr za uchaguz tu, ( ukawa vs ssem)

kwani umelazimishwa kusoma hii post...?
na ndio maana kuna majukwaa mengi.. hii ni love connect kama unajiona unapenda sana siasa nenda jukwaa la siasa... humu kila mtu ana uhuru aisee mwache mwenye kutafuta partner atafute we kajadili uchaguzi huko
 
Dada angu kwanza nimefurahi kua umuislam na unatafta mume wa kukustri.nijambo jema sana.ila sidhani kua mume bora anapatikana kwenye elim hiyo kwa mujibu wa mafundisho ya quran na hadith za mtume.
 
Mimi vigezo vyako vyote nnavyo unavyo taka nitumie no yako
 
Tatizo langu mi mkristo vigezo vyote ninavyo
 
Ukisilimu utampata mume la bla ya hvo mtafte john muishi maana wakiristo hamuoan na hakuna ndoa ya kikrato
 
Hebu ni-Pm tuyamalize faster achana na hao wengine sio waoaji!

KUWENI MAKINI VIJANA, ANGALIENI HAPA CHINI, MTAJA LIA NYIE;


C:\Users\INTERN~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.png

Mlima meru
8th February 2013 20:39
#1

Senior MemberArray
Join Date : 30th December 2012
Posts : 115
Rep Power : 463
Likes Received
16
Likes Given
9
[h=2]
C:\Users\INTERN~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image004.png
Kuna msichana muislam anayetafuta mume?[/h]
Wapendwa,
Nilitoa tangazo langu hapa la kutafuta mke mwema. Ukweli nilipata watu wengi walio positive mainded ila shida ikawa ni Dini.
Mimi ni muislam hivyo nahisi nikipata msichana wa kiislam aliyesoma vizuri (mfanya biashara au muajiriwa) nitamfanya awe mke wangu.
Napendelea awe na umri wa miaka kati ya 30 - 34.
· Awe mrefu wa wastani (150 hadi 165cm)
· Akiwa na bantu figure ni added advantage
· Akiwa pia mzaliwa wa kilimanjaro ni added advantage
· Kama anaweza kuongea kichagga cha kishumundu au Kipare cha ziwa jipe na kiingereza cha Marekani pia nitapenda sana.
· Awe presentable na anaye weza kuongea mbele ya watu
· kama anaweza kuendesha Vokswagen model ya 1972 ni poa sana kwani mimi napenda magari ya zamani

Kama yupo mwenye sifa naomba ani pm nitampa namba yangu ya BBM au Whats up tuchat
Last edited by Mlima meru; 8th February 2013 at 20:55.

C:\Users\INTERN~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.png

Mlima meru
20th February 2013 20:36
#21

Senior MemberArray
Join Date : 30th December 2012
Posts : 115
Rep Power : 463
Likes Received
16
Likes Given
9
C:\Users\INTERN~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image004.png
Re: Beautful and Smart Lady is needed


Frankly, I am a gentleman but I loved the way you put your words.
I am sure a lady who will fit your specification will be a perfect wife.
I will love to copy something from your post...when you are done.
Big up man... you made it!!!

https://www.jamiiforums.com/love-co...a-30-na-upo-single-inakuhusu.html#post5800848
 
Tatizo Ni kumpata huyo WA diploma aliye single baaaaasi!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom