Mlima meru
Senior Member
- Dec 30, 2012
- 114
- 20
Wapendwa na mimi najitokeza kujitafutia mwenza kama yupo anaye kidhi vigezo namkaribisha.
- Awe Muislam wa umri wa kuanzia 35 hadi 45 hivi
- Awe na Elimu kuanzia Diploma na kuendelea na awe ameajiriwa au kujitegemea
- Awe hajaoa ila kama ana mtoto mmoja sio tatizo
- Awe anajimbua/anajua wajibu wa mume kwenye familia
- we na Afya njema na mcha Mungu
- Mimi nina umri wa kuanza maisha
- Nina Elimu ya Chuo Kikuu
- Nina kazi- Nimeajiriwa Serikalini
- Sijaolewa wala sina mtoto
- Ni mcha mungu na nina Afya njema
- Ni mwembamba – mrefu wa wastani (162cm hivi)
Mengine karibu to chat
"Mada imefungwa....waliopo kwenye mchakato wanatosha"
- Awe Muislam wa umri wa kuanzia 35 hadi 45 hivi
- Awe na Elimu kuanzia Diploma na kuendelea na awe ameajiriwa au kujitegemea
- Awe hajaoa ila kama ana mtoto mmoja sio tatizo
- Awe anajimbua/anajua wajibu wa mume kwenye familia
- we na Afya njema na mcha Mungu
- Mimi nina umri wa kuanza maisha
- Nina Elimu ya Chuo Kikuu
- Nina kazi- Nimeajiriwa Serikalini
- Sijaolewa wala sina mtoto
- Ni mcha mungu na nina Afya njema
- Ni mwembamba – mrefu wa wastani (162cm hivi)
Mengine karibu to chat
"Mada imefungwa....waliopo kwenye mchakato wanatosha"