Nahitaji mume miaka 40-75

Nahitaji mume miaka 40-75

Hawa wajinga huwa wanaokota okota picha waje wadanganye hapa watu wawapige pesa.
Eti anatafuta mume,
Na wameshajua wazee wetu 40+ huwa wanatoboka sana, anajua akisema 25+ vijana wanaazimana magari 😅
 
Huyu ni mwanaume ila anajifanya mwanamke. Hizi picha kaziokota huku

Screenshot_2025-04-12-16-08-00-111_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
Screenshot_2025-04-12-16-07-51-929_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg


Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.

Kwa jina naitwa Aziza Ramadhan, nahitaji mume mtu mzima ambaye anajua wajibu na majukumu yake, miaka 40-75. Niko serious kabisa kwa hili. Kwa maongezi zaidi njoo WhatsApp 0711-297 086.

NB: KAMA HUNA MIAKA 40-75 USINITAFUTE.
 
Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.

Kwa jina naitwa Aziza Ramadhan, nahitaji mume mtu mzima ambaye anajua wajibu na majukumu yake, miaka 40-75. Niko serious kabisa kwa hili. Kwa maongezi zaidi njoo WhatsApp 0711-297 086.

NB: KAMA HUNA MIAKA 40-75 USINITAFUTE.
Acha utapeli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom