Nahitaji mume aliye serious na maisha

Nahitaji mume aliye serious na maisha

Kuna kitu nimekiona ktk huu Uzi.

Inaonekana wanawake wa kisukuma wanasoko sana koz sijaona kejeli za kila siku zinazotolewa ktk nyuzi km hizi. Watu wanauliza maswali ya msingi.

Kila la kheri mtoa mada najua huko pm ni mafuriko.
yaani nihatari nanusu
 
Kuna kitu nimekiona ktk huu Uzi.

Inaonekana wanawake wa kisukuma wanasoko sana koz sijaona kejeli za kila siku zinazotolewa ktk nyuzi km hizi. Watu wanauliza maswali ya msingi.

Kila la kheri mtoa mada najua huko pm ni mafuriko.
Bhasukuma totena shida gete,neyo tole bhachangamfu ndugu wane.
 
usijari boss unang'ombe lakini??? Maana kwetu wote weupeeeeee kazi nikwako
Ng'ombe wapo fanya hivyo. Naisubiri mpaka saa 12 jioni nikiona kimya ntajua imeshindikana. Arasiri njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom