Tuwekee na mapicha ya mijengo ya shule basiHabari wanajamvi kama heading inavyo sema, nahitaji mtu au watu wakishirikiana nao katika kuendesha na kusimamia shule. Shule ipo chamazi mbagala inajumla ya hekari 15 hapo hapo na majengo ya madarasa 20. Maabara na hostel Ya wavulana na wasichana. Shule ilisha wahi kuwepo awali ila ilisimamisha huduma mwaka 2015 sasa nahitaji niifufue upya naomba ushirikiano tafadhari. Nikimpata mtu mwenye wanafunzi tayari au mwenye education center ambaye anatafuta majengo nipo tayari kushirikiana nayee. Nawasubiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app