Tundapori
JF-Expert Member
- Aug 12, 2007
- 652
- 277
Habari zenu wakuu.
Naomba msaada kwa ye yote anayemfahamu mtu au kikundi cha watu wenye ujuzi/utalaamu wa kuangusha mbuyu ananipatie contact zake au ani PM.
Mbuyu ni mkubwa sana na kwa kukadiria shina lake lina kipenyo kama cha mita 3 hivi.
Mbuyu huu upo Dar es salaam.
Gharama za kazi maelewano.
Asanteni sana.
Naomba msaada kwa ye yote anayemfahamu mtu au kikundi cha watu wenye ujuzi/utalaamu wa kuangusha mbuyu ananipatie contact zake au ani PM.
Mbuyu ni mkubwa sana na kwa kukadiria shina lake lina kipenyo kama cha mita 3 hivi.
Mbuyu huu upo Dar es salaam.
Gharama za kazi maelewano.
Asanteni sana.