Nahitaji mtu mzima wa kuongea naye

Nahitaji mtu mzima wa kuongea naye

Pole sana. Ndio dunia. Every thing is a chance except death is a must.
 
chumvi yote nliokula na kupewa wake wawil.. sifai kuwa under 18!!! ushauri wangu wa kizee hawa vijana hawatuwez

Unaweza kuwa na wake wawili lakini busara na hekima Huna
 
pm unaweza pata msaada. i can guess its a challenge we face in our daily life. pole sana.
 
pole sana, pole nadhani hiyo ndo challenge ya maisha tunayo.
 
I need a muture person to talk to tafadhali si mapenzi wala kutongozana I need advice a single mom am so confused please

Pole kwa kuwa confused, fanya group talk hapa hapa na kila mtu, utapunguza stress, huko chemba ni lazima utarushiwa ndoano!
 
I need a muture person to talk to tafadhali si mapenzi wala kutongozana I need advice a single mom am so confused please
I'm 48 years old, physical feet.
Im also psychologist.

Came to pm, i will help you.

Kuna watu wazima wengine akili zao ni hamsini toa mia..Hawatakusaidia..Njoo kwangu..Japo nina miaka 18 ila nina hekima sana

Miaka kumi na nane bado mtoto tuuu, acha wazee wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom