NTABO wa NTABO
Senior Member
- Jun 25, 2017
- 190
- 221
Husika Na kichwa hapo juu, mimi ni muhitimu chuo kikuu ,nahitaji mshirika anayependa kilimo, niko shamba tayari ,muhoro rufiji pwani, nimefanya upembuzi yakinifu,kulingana na msimu ,nahitaji tuanze na bamia na mazao mengine atakayoona mshirika yanafaa kulingana na soko, ,mshirika awe na mtaji wa kuanzia laki tatu na kuendelea, au kama nitapata mkopo au msaada ni njema pia, maelezo mengine niulizwe nitajibu, safari huanzia popote muhimu mwisho,