PierreLiquid
JF-Expert Member
- Oct 16, 2019
- 596
- 2,310
Kwa maelezo yako na comment nlizopitia toka mwanzo mpaka mwisho. Kuna mambo kimantiki hayana maana ila kimaisha ukiyafkiria Kwa upana hasa Kwa jamii zetu za kiafrika yanamaana mnoo. Mkuu wewe unamaadui umetupiwa kitu kinaitwa kim**vi yani wewe kila ataetaka kukusaidia utaishia kugombana nae tuu. Jiongeze nadhani wewe ni mtu mzima tena timamu.