David Mgeni Senior Member Joined Aug 4, 2020 Posts 109 Reaction score 145 Sep 13, 2023 #1 Samahani ndugu zangu nina ndugu yangu ana ujauzito ila anatokwa damu ukeni je naweza kupata msaada wenu NB:yuko vibaya kiuchumi
Samahani ndugu zangu nina ndugu yangu ana ujauzito ila anatokwa damu ukeni je naweza kupata msaada wenu NB:yuko vibaya kiuchumi
fundi bishoo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 14,498 Reaction score 27,758 Sep 13, 2023 #2 angeenda hosptali mkuu dah kuna demu nlimpga mimba aliptiaga hy hali alienda hosptl akapat dawa akawa sawa tu
angeenda hosptali mkuu dah kuna demu nlimpga mimba aliptiaga hy hali alienda hosptl akapat dawa akawa sawa tu
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,483 Reaction score 65,799 Sep 13, 2023 #3 I think kuna shida katika kizazi ni dalili mbaya mimba kuharibika kutokana na kizazi kulegea yaani kizazi kutokuwana uwezo wa kubeba mimba so wahi hospital
I think kuna shida katika kizazi ni dalili mbaya mimba kuharibika kutokana na kizazi kulegea yaani kizazi kutokuwana uwezo wa kubeba mimba so wahi hospital
David Mgeni Senior Member Joined Aug 4, 2020 Posts 109 Reaction score 145 Sep 13, 2023 Thread starter #4 Gharama je