Katoro ni kamji ka madini huko geita , na kuna uwezekano mkubwa hata mdau ni mtu wa madini , maana the way anaielezea hiyo pesa definety inatoka katika mazingira ya zari... Kuna jiwe ameuza I guessSipajua Katoro na sijui wingi wa watu huko ila ningeshauri fanyia uchunguzi hiz biashara
1. Vifaa vya pikipiki na baiskeli
2. Kuna zile biashara machinga wanauza kama sosi, mikanda, saa n.l
3. Mahitaji ya vitu vya ndan - Mangi shop
La hajui ni biashara gani afanye utampoteza , biashara inataka kwanza taarifa za kutosha nini ufanye , sio juu kea juu na hela yako unafanya biashara , utachoma pesa yote
Shule yetu hii haisaidiii kwenye biashara za mitaji midogo kama hiii let alone mikubwa !Wewe ulidhani baada ya ushauri wangu, jamaa angeenda kuzianika fedha barabarani bila hata kupata tips 2, 3 kuhusu biashara!??? Hivi hudhani kusema ^anzisha biashara^ ni package ya vitu vingi!??? Which school did you go even!???
Milion 5 peleka kwenye ujenzi. ...milion tatu wekeza kwenye biashara ya mashuka na vifuniko vya asali...inalipa sana ukitaka connection na masoko tuwasilianeHabarini za majukumu? Pamona na hayo natumaini wote ni wazima pia! Mimi sijambo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku kwa ajili ya maisha yangu ya sasa na ya baadae.
Katika kitu kinachonichanganya nikaona naweza kupata wapi mawazo mazuri na ya kujenga zaidi ya #JamiiForum. Nikasema hapana ngoja nifikishe ujumbe na wazo hili nililonalo ili niweze kuchanganua nawezaje kulifanya hili na nisije kujutia baadae.
KWENU.
Nimepata kiasi cha Tsh million 8 taslimu, hizi hela nimejikuta nianze na nini kati ya mambo makuu mawili ambayo ni.
1. Wazo la kwanza
Nimepanga nijenge nyumba ya vyumba 3 maana kiwanja ninacho kabla ya kupata hii pesa na kama ikibaki hata million 2 kwenye hiyo hela niangalie ntakachoiwekezea ili nisipate shida hapo baadae.
2. Wazo la pili
Hili ndio linaniumiza kichwa mpaka basi, kwanza nilitaka niifanyie biashara kwanza kabla haijaisha ili niikuze baadae ndio nijenge sasa maana kiwanja tayari ninacho.
Sasa najikuta nawaza nitaifanyia niashara gani wakati sina experience yeyote na biashara na sijui biashara gani ambayo nitawekeza hiyo hela ili nisije kujuta mbeleni huko.
Pia najikuta niko njia panda kati ya mawazo hayo mawili nimeshindwa nianze na lipi ambalo lingeniwezeshea hela hiyo ikatumika vyema na baadae nikaitwa mtu katika watu.
Nitangulize shukrani zangu kama mchango wako kwangu na mawazo yako ili niweze kulishinda hili
😂😂😂Nunua gari mkuu
Katoto mwanangu mbona unajenga? Hiyo hela inatosha! Ila biashara kwa Katoro ungetoka, labda hutaki! Ulitaka kuweka kwenye biashara gani?Nipo Katoro Geita
je kwa mfano dada angu kwa mtu mwenye uzoefu na biashara ya kununua madini kwa huu mtaji si unamtosha kabsaaa nishauri tafadhari.....nataka kuanza hii biashara hapo kimtaji na milioni 10No 1 kule sawa kbs
Inawezekana vyumba vitatu vilivyofuatana, bila jiko, sebule sijui dining na anaezeka slope.Milion8 kwa nyumba ya vyumba vitatu kisha ibaki milioni mbili? Inamaana nyumba vyumba vitatu utakuwa umejenga kwa mil.6? Kweli mkuu?
Fanya hivi utakuja kunishukuru.Hayo mambo sijui ya biashara baadae hautaona manufaa yoyote na utashangaa hela imeisha na bado hauna chochote cha maana.Angalau kama una kiwanja heri ujenge.Nunua gari mkuu
Unatosha sana mkuu...ila kuwa makini..inawezekan kns ndan ya mwaka 1 ukawa huna hela kbs..tunaita "kukatika"je kwa mfano dada angu kwa mtu mwenye uzoefu na biashara ya kununua madini kwa huu mtaji si unamtosha kabsaaa nishauri tafadhari.....nataka kuanza hii biashara hapo kimtaji na milioni 10
Bonge la hekima!Nilitaka kusema ilete nikuwekee mwanangu ila acha tu.
Nyumba ndio kitu muhimu kwa hiyo vyumba 2 vya masta sebule na chumba kidogo kama jiko ukisimamia mwenyewe 100%, waweza weka hadi bati la kibongo lakini baadae ukamalizia hizo finishing kidogo kidogo.
Biashara ni kama kamari waweza kula au kuliwa.
Yote kwa yote omba Mungu akusimamie.
Kwa biashara ndio sijui nifanye ipi maana sina experience hivyo nikaona niweke humu wazo langu la kuomba ushauri ili nione nielekee uelekeo upi, hata nikipata mtu akanishika mkono itasaidia sana sema ndio hivyo sina mtu huyo!Katoto mwanangu mbona unajenga? Hiyo hela inatosha! Ila biashara kwa Katoro ungetoka, labda hutaki! Ulitaka kuweka kwenye biashara gani?