mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 923
- 1,585
Hata mimi nimemwambia mwenzake kwa milioni 5 tu nilijenga nyumba kubwa sana Kilosa, Morogoro na mzee wangu anakaa pale wanasema ni shule ama hahah, hela nyigni sana hiyo kwa nyumba za nje ya miji mikubwakama upo katoro geita na uhakika hyo hela unaweza jenga nyumba hata 3 za kupangisha,, na fremu za maduka