Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
- Thread starter
- #21
Sawa sawa ni wazo piaJENGA
Sawa sawa ni wazo piaJENGA
Uko wapi!??? Biashara ziko nyingi kama mchanga. Akili yako tuuuBiashara sijui nianze na nini maana sijui niifanyie biashara gani
Niko Katoro-GeitaUko wapi!??? Biashara ziko nyingi kama mchanga. Akili yako tuuu
Sipajua Katoro na sijui wingi wa watu huko ila ningeshauri fanyia uchunguzi hiz biasharaNipo Katoro Geita
Tena hapo ndipo KITOVU na KITOKONO cha biashara aiseee. Ama kweli penye miti mingi, hapo pana wajenzi wake wanaishi nyumba za kisasa.Niko Katoro-Geita
Inabidi ujenge kwa utulivu sana hiyo nyumba ya vyumba vitatu kwa milioni 6! Maana nyumba ina maajabu yake. Unatenga hiyo milioni 6, mwisho wa siku inakupeleka mpaka milioni 20!Najenga ya kawaida sana tena vyumba vya madarasa itakapoishia ila hata isipokuwa na lipu ntakomaa baadae nipige lipu!
Kiwanja unacho!!??Habarini za majukumu? Pamona na hayo natumaini wote ni wazima pia! Mimi sijambo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku kwa ajili ya maisha yangu ya sasa na ya baadae.
Katika kitu kinachonichanganya nikaona naweza kupata wapi mawazo mazuri na ya kujenga zaidi ya #JamiiForum. Nikasema hapana ngoja nifikishe ujumbe na wazo hili nililonalo ili niweze kuchanganua nawezaje kulifanya hili na nisije kujutia baadae.
KWENU.
Nimepata kiasi cha Tsh million 8 taslimu, hizi hela nimejikuta nianze na nini kati ya mambo makuu mawili ambayo ni.
1. Wazo la kwanza.
Nimepanga nijenge nyumba ya vyumba 3 maana kiwanja ninacho kabla ya kupata hii pesa na kama ikibaki hata million 2 kwenye hiyo hela niangalie ntakachoiwekezea ili nisipate shida hapo baadae.
2. Wazo la pili.
Hili ndio linaniumiza kichwa mpaka basi, kwanza nilitaka niifanyie biashara kwanza kabla haijaisha ili niikuze baadae ndio nijenge sasa maana kiwanja tayari ninacho.
Sasa najikuta nawaza nitaifanyia niashara gani wakati sina experience yeyote na biashara na sijui biashara gani ambayo nitawekeza hiyo hela ili nisije kujuta mbeleni huko.
Pia najikuta niko njia panda kati ya mawazo hayo mawili nimeshindwa nianze na lipi ambalo lingeniwezeshea hela hiyo ikatumika vyema na baadae nikaitwa mtu katika watu.
Nitangulize shukrani zangu kama mchango wako kwangu na mawazo yako ili niweze kulishinda hili
Ndio ninachoKiwanja unacho!!??
Aisee wazo zuri sana shukraniHuna uzoefu wa biashara tena katika awamu ambayo biashara ni ngumu!!! Kama una sehemu ya kuhifadhi, nunua bati 50, weka ndani. Nunua sementi mifuko 50, weka ndani. Tafuta ushauri kwa mifuko hiyo ya sementi na bati, utahitaji nondo na mbao kiasi gani, ukishapata jibu, nunua hivyo vitu, weka ndani! Pesa utakayobaki nayo ndiyo anza kujifunzia nayo kufanya biashara huku ukipiga tofali mdogo mdogo hata wewe mwenyewe
Nipo Katoro Geita
Ni kweli kabisa sasa hapa niko njia panda ngoja nioneInabidi ujenge kwa utulivu sana hiyo nyumba ya vyumba vitatu kwa milioni 6! Maana nyumba ina maajabu yake. Unatenga hiyo milioni 6, mwisho wa siku inakupeleka mpaka milioni 20!
Mbaya zaidi ukishaanza tu ujenzi, ndiyo basi tena! Huwezi kuishia katikati. Na hutafurahia kuona imeishia kwenye renta na inanyeshewa na mvua. Biashara awamu hii nayo siyo ya kufanyia majaribio.
Mzunguko wa hela mtaani siyo wa kuvutia sana kama zamani. Ni wabishi tu ndiyo wanatusua. Wenye mioyo myepesi wanafunga.
Nikweli ndio maana nikahitaji utulivu kwanza ili nichanganue nafenye niniKatoro / Buselesele kuna mzunguko mkubwa mno wa pesa kwa sababu maeneo hayo yamezungukwa na wachimbaji wadogowadogo wengi wa gold. Sasa kama huwezi kuona ufanye nini Katoro au Buselesele ujue hutokaa uone cha kufanya sehemu yeyote Tanzania
Nimeoa na nina watoto wawili kiwanja ninachoKama umeoa na unawatoto au labda family yenu ni so extended hiyo hela ni ndogo ingiza tu kwenye biashara.
Tena ya nafaka
Ahsante kwa ushauriYaani Jumanne Mwita nakushauri ujenge nyumba tu hakuna namna nyingine mkuu