Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu

Kama umepima hakuna walichoona,Jaribu pia tiba za kitamaduni ndugu yangu.Ukichelewa athari zitakuwa kubwa,kwa ambao yalishawakuta watanielewa.
tiba za kitamaduni ndo hizi kwa waganga au?
 
Tiba mbadala, usikalili waganga ujue ata hizo madawa za mahospitalini mengi ni mitishamba.
sawa ila hospital sikumaliza.kama ingekua imeshindikana ningeanza kwenda huko.bado kuna vipimo sijapima
 
sawa ila hospital sikumaliza.kama ingekua imeshindikana ningeanza kwenda huko.bado kuna vipimo sijapima
Tiba mbadala sometime ni vyakula, siyo mpaka madawa chunguza pia mlo wako siku za nyuma, maana kwa asilimia karibu 80 ya magonjwa sugu causative ni diet imbalance.
 
Naomba nikupe pole sana dada na ninakuombea kwa Mungu Mwenyezi akuinulie watu watakao kusaidia. Mungu siku zote ni mwaminifu na mwenye huruma na upendo. Usiogope.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…