Nahitaji msaada kwenye laptop

Jemsi

Senior Member
Mar 22, 2012
149
19
Habari zenu wana jukwaa,
Ni matumaini yangu mu wazima wa afya, naomba mwenye uelewa anisaidie. Nina PC nikiingia internet niki scroll page ina stack kama sekunde 10 ndio ina move up. Naomba mwenye ujuzi kwani nachukua muda sana kusoma habari zilizopo kwenye internet.

Natanguliza shukrani
 
Unatumia mtandao gan?, Na unatumia source ipi kufungua internet?
Je pc yako ni aina gan?

(HEBU DOWNLOAD OPERAMINI UFURAHIE INTERNET KWENYE PC YAKO)
 
Pc yako ina RAM ya ukubwa gani? Je umajaza data kiasi gani kwenye PC yako? Ushawahi kui scan for virus?
 
Unatumia mtandao gan?, Na unatumia source ipi kufungua internet?
Je pc yako ni aina gan?

(HEBU DOWNLOAD OPERAMINI UFURAHIE INTERNET KWENYE PC YAKO)

mtandao ninaoutumia ni vodacom,na source ninayotumia ni opera na mozilla .zote zipo slow.
 
ram ni 2gb .nimeiscan lakin nahisi hii antivitus sio nzima

Fungua task manager (ctrl+alt+delete) then nenda process angalia kitu gani kinafanya pc iwe slow kwa kuangalia ulaji WA processor na ram WA kila program.

Ni vyema ukafanya hivyo pindi hio computer ikiwa Ina lag
 
ram ni 2gb .nimeiscan lakin nahisi hii antivitus sio nzima

Nimeshawahi kuona PC inachukua muda ku-scrow lakini tatizo likawa graphics driver, ukifanya kitu kingine tofauti na internet inakuwaje hasa kuangalia video?
 
Toshiba i3, 4gb ram na windows 8 yangu pia ilikuwa inafanya hivyo kila siku .. Nilijaribu CCleaner kusafisha junk files lakini bado ikaendelea. Nilichofanya nilinstall windows 10, nilivyo install nakuupdate drivers (graphics driver), nikaamisha mafile yangu yote kwenye external na nikafanya full format ya pc ilichukua masaa ma 5-kumaliza tokea siku hiyo sijawahi experience hilo tatizo tena.
 
Jaribu kuangalia kama kuna updates katika computer yako, maana ukiwa na updates alafu ukaunganisha kwa internet ujue kuwa computer itakuwa slow; kwahiyo hakikisha unainstall windows update zote.
Na pia jaribu kuweka antivirus kama vile Kaspersky na zingine nzuri ambazo zinaaminika maana hizi zingine zinafanya pc yako isumbue mno.
 
Back
Top Bottom