Nahitaji Mpenzi wa kike 19-23yrs

Nahitaji Mpenzi wa kike 19-23yrs

The Boss my age ts doesn't a matter bh the point is muda wa kusom n co wakuangaik na ma beybeee
Tank u by the way
 
Pia naweza kuwa mkubwa kwako
Raimundo then umri na post iliotumwa haihusiani
Ni ushauri huu tunatoa mweny maamuz ni alietoa post
👆👊
 
mkuu#ISLETS napga #HGL ,nina malengo na niko vizuri darasani

comb inaruhusu...
ila sasa ningekushauri kama umeshindwa kujizuia basi tafuta mwanafunzi mwenzako hapo shule ili wote muwe mnawaza masomo...but epuka kitu kinaitwa uzinzi.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20.Ni mrefu kias,rangi ya maji ya kunde,mtanashati,najua kupenda,niko vizuri in short.Nipo form 6 now.Natafuta msichana wa kuwa nae as my girl friend awe mzuri,good shape asiwe mfupi sana coz me mrefu kiasa.

Akipatikana wa Dar so mbaya.Kama uko serious ni pm

Dogo concentrate na shule acha mapenzi you have a long way to go chuo chupi zinakamatika kirahisi tu
 
Daaah!! Nasikituka kuona watoto wa shule wanatumia vibaya computer za shule.
Dogo komaa na shule aisee mdem wapo wala hutowamalizaa... ts matter of time...
 
Kazi na dawa! Ila soon utakuwa 'mzembe' zaidi ata ya Ngoswe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom