Mkalimani wa taifa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 753
- 1,285
ondoa kipengele cha umri
Si tatizo sana umri ila wengi 25..27 wanashida sana naprefer watu wazima au aliyewahi kuoa kabisa ila mgane.ondoa kipengele cha umri
😀 😀 😀Kijana wa CCM unatafuta nini hapa?
Kama una rangi ya mtume, una umbo namba 8/6, sura ya mdoli, tabia njema, mvumilivu, Mcha Mungu, mwenye maadili, mtii na mnyenyekevu, Mkatoliki mwenye imani thabiti, nk.Si tatizo sana umri ila wengi 25..27 wanashida sana naprefer watu wazima au aliyewahi kuoa kabisa ila mgane.
Pumbavu mkubwa weweNjoo pm best
Huyo jamaa mpumbavu Sana kakaKijana wa CCM unatafuta nini hapa?
Dah mkuu, hatuendi hivyo. Hii sentence yako itakupeperushia njiwa wako next time.Pumbav weka picha yako
Kwan unataka kumpeleka kwenye maonesho??zoo??Ni mzuri wa kuvutia,?
Muonekano kwa mwanamke ndio source ya mvutoKwan unataka kumpeleka kwenye maonesho??zoo??
Habari wanajamvi nawasalimu kwa jina la Muungano
Mimi ni mwanamke wa miaka 27,
Sina mtoto
ninaishi Dar es Salaam.
Nahitaji mwanaume serious kwa ajili ya familia.
Miaka awe na 30 na kuendelea mwisho 40.
Awe christian.
Kwa hiyo wewe tabia huangalii??Muonekano kwa mwanamke ndio source ya mvuto
Sasa utapendaje kitu Kama hujakiona kwanza?Kwa hiyo wewe tabia huangalii??
Mbona hujaweka vigezo vingine mfano urefu, kifua six park, awe na gari, awe na kazi gani, asiwe mweusi sana, awe hajawahi kuwa na mke wala mtoto, nk.Habari wanajamvi nawasalimu kwa jina la Muungano
Mimi ni mwanamke wa miaka 27,
Sina mtoto
ninaishi Dar es Salaam.
Nahitaji mwanaume serious kwa ajili ya familia.
Miaka awe na 30 na kuendelea mwisho 40.
Awe christian.
Nimecheka sana hii comment..!Kijana wa CCM unatafuta nini hapa?
Mm Niko mbeya nna miaka 30 kamili ila niliwahi kuoa ndoa ikaota mbawa kwa maana nilitalakiana na mke,mna watoto wa3 kama uko tayar karibu pm but sitegemei kuish dsm maaan nipo huku kikaz na huku ndio nyumbani kwetu! Mawifi na wakwe watabisha hod kila siku!! Mm n mnyakyusa