Log-out
Senior Member
- Jun 6, 2017
- 178
- 132
Mungu akufanyie wepesi ndugu.huna rafiki wa kukukopesha laki moja kweli.. au ndugu na jamaa.
laki moja sio hela ya kuitafuta mitandaoni...
nahisi wewe sio mlipaji wa madeni.. ndio maana kwa jamaa zako na majiran hukopesheki