Wadau,
Ninahitaji mkopo wa fedha ili nijenge nyumba ya kuishi katika eneo ninalolipenda na ramani ninayoihitaji. Sina fedha za kutosha kujenga nyumba hiyo. Ninaomba yeyote mwenye taarifa ya taasisi, ama mtu binafsi anayeweze kunipa mkopo huo kwa makubaliano sahihi, anisaidie.
Ahsante kwa muda na mawazo yenu.​
Ninahitaji mkopo wa fedha ili nijenge nyumba ya kuishi katika eneo ninalolipenda na ramani ninayoihitaji. Sina fedha za kutosha kujenga nyumba hiyo. Ninaomba yeyote mwenye taarifa ya taasisi, ama mtu binafsi anayeweze kunipa mkopo huo kwa makubaliano sahihi, anisaidie.
Ahsante kwa muda na mawazo yenu.​