macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,331
- 57,204
Sidhani kuna mtu atakuwa mjinga akupe mkopo na vfaa ubaki navyo wewe! Akikupa bado unaweza kuviuza halafu atakapokuja ukamwambia viliibiwa hivyo unahitaji muda kulipa. Kwa kawaida bond yoyote ya mkopo anayebaki nayo ni mkopeshajisitak kuviuza ndo maana ingekuwa kuuza ningetangaza nauza au kuna hizi microfinance wasema peleka dhamana yako hapo ningevipeleka wanipe hela lakini kuepusha yote hayo ndo nikaona bora kama ataekuwa tayari kunisaidia aje avione sio kuvichukua hadi nitakaposhindwa kulipa hapo ni ruksa kuvichukua