blakafro
Senior Member
- May 1, 2014
- 155
- 105
Mkuu najua uzi ni wa muda kidogo sijui hata kama mpo active. Ila shida yangu na mimi ni namba ya huyo jamaa naombeni mnisaidieKuna jamaa anakupa mkopo chap kigezo chake kadi ya gari kama unalo ,utachukua mkopo kulingana na thamani ya gari
IGWE kama uliipata msaada chief naomba nitumie.
ichenjezya