Nahitaji mkopo wa dharura (+ riba)

Nahitaji mkopo wa dharura (+ riba)

sitak kuviuza ndo maana ingekuwa kuuza ningetangaza nauza au kuna hizi microfinance wasema peleka dhamana yako hapo ningevipeleka wanipe hela lakini kuepusha yote hayo ndo nikaona bora kama ataekuwa tayari kunisaidia aje avione sio kuvichukua hadi nitakaposhindwa kulipa hapo ni ruksa kuvichukua
Jombaa acha utani, aje avione alafu aondoka na kukuachia m hvi hvi, unatania labda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sitak kuviuza ndo maana ingekuwa kuuza ningetangaza nauza au kuna hizi microfinance wasema peleka dhamana yako hapo ningevipeleka wanipe hela lakini kuepusha yote hayo ndo nikaona bora kama ataekuwa tayari kunisaidia aje avione sio kuvichukua hadi nitakaposhindwa kulipa hapo ni ruksa kuvichukua
Hamujuani, ukimkana sio ndio bas

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ata mimi ndio nimeshangaa kwa hyo maelezo yke,.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa kutoa mikopo ya namna hii siku hizi hakuna. Tena kwa haraka ya mleta mada hesabu maumivu. Ndio maana bank hadi wajiridhishe kwamba unakopesheka na mkopo utalipwa. Ndio maana kama ni dhamana inabaki kwao ili ukishindwa ile ndio inapigwa mnada kufidia deni. Sasa dhamana abaki nayo mkopaji tena mtz, hizo bank zote zingeshafilisika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua kwa dhama hizi si rahisi mtu kukupatia pesa ki rahisi sasa inategemea na mtu mwenyewe anavyokuwa na mazingira yake kikubwa ni hadi kusema hivyo najiamini hivyo ambae yupo tayari tafadhal naomba anitafute mimi ni muungwana tu
 
Aiseeee ,kwa dunia ya sasa ni kazi sana kupata mkopo kwa style hii,,ungekuwa mtumishi afadhari ,hapo lazima uuze hivyo vitu..
 
kwa ambaye mwenye uwezo wa kunikopesha naomba tafadhali anitafute 0685371375
 
Back
Top Bottom