enterprenuer 1974
Member
- Oct 13, 2018
- 58
- 31
Wakuu Mimi ningenda kujua ni wapi nchini wanalima canola , nina mpango wa kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza mafuta ya Canola.
Kama kunaye mwenye mbegu au ni mkulima wa canola naomba tuwasiliane.
Kama kunaye mwenye mbegu au ni mkulima wa canola naomba tuwasiliane.