BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,533
- 3,837
Habari wakuu,
Ninahitaji mbao za mkongo au mninga, napatikana Dar lakini sihitaji kununua Dar kwa kuwa gharama ni kubwa.
Nimeambiwa mninga unapatikana zaidi Tabora na Mkongo unapatikana zaidi kusini (Mtwara).
Hivyo kwa mwenye connection ya mtu wa uhakika kati ya Mtwara/ Tabora naomba aniunganishe nae ili niwasiliane nae nikazifate huko. Utaratibu wa usafiri na vibali nitashughulika navyo mimi.
Asanteni
Ninahitaji mbao za mkongo au mninga, napatikana Dar lakini sihitaji kununua Dar kwa kuwa gharama ni kubwa.
Nimeambiwa mninga unapatikana zaidi Tabora na Mkongo unapatikana zaidi kusini (Mtwara).
Hivyo kwa mwenye connection ya mtu wa uhakika kati ya Mtwara/ Tabora naomba aniunganishe nae ili niwasiliane nae nikazifate huko. Utaratibu wa usafiri na vibali nitashughulika navyo mimi.
Asanteni