elnino
Member
- Feb 14, 2014
- 75
- 26
Habari wakuu,
Nahitaji mayai ya Bata mzinga ambayo yanaweza kutotoa vifaranga (fertile eggs)
Mwenye nayo au mwenye kujua wapi naweza kupata naomba tuwasiliane kwenye namba 0785 670 266.
Mimi nipo Dar, kama una hayo mayai popote pale Tz tuwasiliane wakuu
Natanguliza shukrani zangu
Nahitaji mayai ya Bata mzinga ambayo yanaweza kutotoa vifaranga (fertile eggs)
Mwenye nayo au mwenye kujua wapi naweza kupata naomba tuwasiliane kwenye namba 0785 670 266.
Mimi nipo Dar, kama una hayo mayai popote pale Tz tuwasiliane wakuu
Natanguliza shukrani zangu