Fred Katulanda
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 374
- 509
Wadau, mimi mfugaji wa Bata nahitaji Mashine za kutotolesha mayai (Incubators), lakini iwe na uwezo wa kutumia umeme na Solar na Unaweza kuwa ya mayai 50-90+.
Yeyote mwenye kujua aina nzuri kwa mayai ya Bata anaweza kunishauri.
Natanguliza shukrani.
Yeyote mwenye kujua aina nzuri kwa mayai ya Bata anaweza kunishauri.
Natanguliza shukrani.