Nahitaji mashuka ya Silk

Nahitaji mashuka ya Silk

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
7,444
Reaction score
20,940
Kama kuna mtu anauza mashuka ambayo ni silk pure 100% naomba mawasiliano yake! Au kama unafahamu ninapoweza kuyapata naomba msaada.
 
Kama kuna mtu anauza mashuka ambayo ni silk pure 100% naomba mawasiliano yake! Au kama unafahamu ninapoweza kuyapata naomba msaada.
Uko wapi? na unataka shuka ngapi ? Ukubwa gani wa shuka?
 
Uko wapi? na unataka shuka ngapi ? Ukubwa gani wa shuka?
Niko Dar es salaam, nahitaji set nzima (ya kutandika, kujifunika na mito yake) rangi hasa nyeupe. Ukubwa 7×8
 
Niko Dar es salaam, nahitaji set nzima (ya kutandika, kujifunika na mito yake) rangi hasa nyeupe. Ukubwa 7×8
Yale ya kudarizi maua ya Kigoma huyataki tena?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom