Sorry boss unaweza kunisaidia jinsi ya kuvipata na bei yake kama wajua??Max Malipo kishaporwa Tender zote za Polisi, Dawasco, TRA, UDART na sasa ananyanganywa ya Tanesco halafu wewe unatafuta hicho kidude chao cha nini?
mambo yote anapewa TTCL so tafuta kidude cha TTCL
Mliokuwa mnalilia Azimio la Arusha hilo linarudi kwa kupitia Mlango wa nyuma jiandaeni Mkao wa sijui kula au kuliwa
Ujamaa hauna nafasi tena atashidwa tu kwa 100% private ownership nimuhimu katika maendeleo ya nchi za LDC kama TzMax Malipo kishaporwa Tender zote za Polisi, Dawasco, TRA, UDART na sasa ananyanganywa ya Tanesco halafu wewe unatafuta hicho kidude chao cha nini?
mambo yote anapewa TTCL so tafuta kidude cha TTCL
Mliokuwa mnalilia Azimio la Arusha hilo linarudi kwa kupitia Mlango wa nyuma jiandaeni Mkao wa sijui kula au kuliwa
Sorry boss unaweza kunisaidia jinsi ya kuvipata na bei yake kama wajua??
Mi ninayoKama upo dar na una mashine ya selcom au maxmalipo unaiuza na haina tatizo lolote nakuomba pm na bei yako
NOTE:najua kuwa kwa mawakala zipo na bei zao nazijua so naomba bei yako isifanane na wao.
Nicheki kama uko seriousKama upo dar na una mashine ya selcom au maxmalipo unaiuza na haina tatizo lolote nakuomba pm na bei yako
NOTE:najua kuwa kwa mawakala zipo na bei zao nazijua so naomba bei yako isifanane na wao.
Ujamaa hauna nafasi tena atashidwa tu kwa 100% private ownership nimuhimu katika maendeleo ya nchi za LDC kama Tz
Jinsi ya kurirudisha ndoshida hajui ......nchi lazma iwe na national policy kupitia azimio la bunge sio kukurupuka tuWa Tanzania wanafiki sana, Wakati wa Mzee Mkapa na Jakaya kila 'Mzalendo' wa type ya kina Warioba na Zitto wakismama wanaulizia kwanini Mwinyi alilifuta Azimio la Arusha 1992 sasa hivi linarejeshwa pia tunalalamika
sasa kama Mwinyi alikosea kulifuta 1992 kwanini tupinge Magufuli kulirejesha?
Ahsante mkuu kwa wale wanaojua bei ya hii mashine msaada pleasekama Upo Dar es salaam
tembelea Ofisi za TTCL Mtaa wa Samora baada ya jengo la TRA na kabla ya kufika NHC House kama umetokea Picha ya Askari ( Azikiwe/Samora).
Hicho kidude cha TTCL kinaotwaje?Max Malipo kishaporwa Tender zote za Polisi, Dawasco, TRA, UDART na sasa ananyanganywa ya Tanesco halafu wewe unatafuta hicho kidude chao cha nini?
mambo yote anapewa TTCL so tafuta kidude cha TTCL
Mliokuwa mnalilia Azimio la Arusha hilo linarudi kwa kupitia Mlango wa nyuma jiandaeni Mkao wa sijui kula au kuliwa
Azimio la Arusha...Wa Tanzania wanafiki sana, Wakati wa Mzee Mkapa na Jakaya kila 'Mzalendo' wa type ya kina Warioba na Zitto wakismama wanaulizia kwanini Mwinyi alilifuta Azimio la Arusha 1992 sasa hivi linarejeshwa pia tunalalamika
sasa kama Mwinyi alikosea kulifuta 1992 kwanini tupinge Magufuli kulirejesha?