Duh, Mkuu inaelekea uko mbali kidogo na sayansi ya machine hizi... Kinachofanyika Ndani ya Incubator ni kuyapa mayai joto kama lile yanayopata chini ya kuku anapolalia...! Sasa Maji pekee kaka, yatatoaje Joto? au ulidhani ukiloweka mayai yatatoka vifaranga? LoL ( im just wondering)....Nishati Ni lazima.. Maji Kama maji hayana uwezo wa kutengeneza joto la kutotoleshea mayai.Ni za mafuta ya Taa au Umeme,mi nataka za kutumia Maji,kama nishati,umeme umepanda,mafuta ya taa yamepanda
Duh, Mkuu inaelekea uko mbali kidogo na sayansi ya machine hizi... Kinachofanyika Ndani ya Incubator ni kuyapa mayai joto kama lile yanayopata chini ya kuku anapolalia...! Sasa Maji pekee kaka, yatatoaje Joto? au ulidhani ukiloweka mayai yatatoka vifaranga? LoL ( im just wondering)....Nishati Ni lazima.. Maji Kama maji hayana uwezo wa kutengeneza joto la kutotoleshea mayai.
Maji ndo yanatengeneza umeme bhana kwanini washndwe kuyawezesha.
umeme ukikatika inakuwaje!
unangapi hiyo mkuu....cheua mshiko nikutumie kitu faster.......kitu AUTOMATIC...kinatumia umeme
umeme ukikatika inakuwaje!
ha ha ha ha ha ha!!hiyo haifai Tanzania!!lbd kama unatumia kajenerator kako ka umeme!Mayai yanakuwa Visa
ha ha ha ha ha ha!!hiyo haifai Tanzania!!lbd kama unatumia kajenerator kako ka umeme!
ha ha ha ha ha ha!!kweli kiongozi,na kama issue ni joto unaweza kuiweka kwenye jiko la mkaa pia!!!Unaweza kutoa mashine ukaanika juani lol
ha ha ha ha ha ha!!kweli kiongozi,na kama issue ni joto unaweza kuiweka kwenye jiko la mkaa pia!!!