Nahitaji mashine ya kukamulia mafuta ya alizeti

Nahitaji mashine ya kukamulia mafuta ya alizeti

Refrector

Senior Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
187
Reaction score
118
Habar zenu wana jf, nimeanza ujasiliamali kidogo kidogo kwa kulima shamba la Alizeti na kwa sasa nahitaji mashine kwa ajiri ya kukamua mafuta. ni wapi naweza pata mashine.
 
Habar zenu wana jf, nimeanza ujasiliamali kidogo kidogo kwa kulima shamba la Alizeti na kwa sasa nahitaji mashine kwa ajiri ya kukamua mafuta. ni wapi naweza pata mashine.

nenda sido mkuu utazipata..
 
Back
Top Bottom