Elvicepride
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 243
- 65
- Thread starter
- #21
Asante bruhi3 kaka, yoyote kuanzia 4th generation
-i3 6100u
-i3 50xxu
-i3 4xxxu
hio x inaweza kuwa namba yoyote.
ikiwa i5 au i7 ni bonus tu
Asante bruhi3 kaka, yoyote kuanzia 4th generation
-i3 6100u
-i3 50xxu
-i3 4xxxu
hio x inaweza kuwa namba yoyote.
ikiwa i5 au i7 ni bonus tu
Mimi ninayo toshiba nauza laki nne na nusu nicheki 0787384659 ni nzuri kabisa.chukua asus
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakiume au wakike??
Mbona unacheka mkuu, laptop ya mwanaume ni tofauti na ya mwanamke[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha,aisee umenipa kali mkuuMbona unacheka mkuu, laptop ya mwanaume ni tofauti na ya mwanamke
Laptop yko ya aina gn io?Mimi ninayo
1 terabytes,
RAM 8
HP medium.. Coi7
Nina mwaka nayo lakini
Haina tatizo
Mengine PM
400,000 bila punguzo.nipo unguja, kama dar bila usumbufu nitakuwa huko 30th November for 3 days
Kiswahili kigumu..hicho kichwa cha uzi wako mhhhNina mdogo wangu wa chuo anahitaji laptop budget yangu ni 600,000/- nimchukulie ipi ambayo itakuwa ngumu na imeji balance kote kote?
Kaka vp ushauzaiyo pcMimi ninayo
1 terabytes,
RAM 8
HP medium.. Coi7
Nina mwaka nayo lakini
Haina tatizo
Mengine PM
400,000 bila punguzo.nipo unguja, kama dar bila usumbufu nitakuwa huko 30th November for 3 days
Mkuu nimetafuta hizo laptops za 4th generation madukan hazipatikan,zipo za 2th generation tu mpaka nimechoka sasai3 kaka, yoyote kuanzia 4th generation
-i3 6100u
-i3 50xxu
-i3 4xxxu
hio x inaweza kuwa namba yoyote.
ikiwa i5 au i7 ni bonus tu
za 2nd si used? unapata za 4th used na mpya nyingi tu kupatanaMkuu nimetafuta hizo laptops za 4th generation madukan hazipatikan,zipo za 2th generation tu mpaka nimechoka sasa
Ahsante mkuuza 2nd si used? unapata za 4th used na mpya nyingi tu kupatana
thinkpad | Kupatana
achana na wauzaji wasioandika majina ya laptop, thinkpad zote zinazoanziwa na 4 ni 4th gen mfano T440
Nichek ninazo laptop nauza lk tano mkuuNina mdogo wangu wa chuo anahitaji laptop budget yangu ni 600,000/- nimchukulie ipi ambayo itakuwa ngumu na imeji balance kote kote?