EXACTLY I HAVE THE SAME PROBLEM.... Nadhani yawezekana ni huluka yao ? ? ? mimi pia nimejaribu mmoja ana lugha za kitapeli hauko serious na kazi, kauli na hata hana commitment,,,, TAFADHALI KWA YEYOTE ATAKAYE WAHI KUPATA TUPEANE TAARIFA MKUU.. mm kiwanja kipo maeneo ya sala sala.