MrsPablo1
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 1,221
- 2,243
Ni kweli hizo investment zipo sijasema ni mpya ila nimeshangaa miaka hii watu wengi wanashauriwa ku invest huko badala ya kutazama fursa zingine za kibiashara, biashara sio lazima kuwa mchuuzi, kwa miaka ya zamani hizo bonds na mutual funds walikuwa wana invest wafanyabiashara baada ya kupata faida au watumishi wa serikali baada ya ku retire , ni vizuri vijana wakiwekeza huko baada ya kupata faida kubwa kwenye biashara zao na sio kuwekeza mitaji kwa kuogopa kupoteza . ku export sio lazima ulaya ata burundi una export na pia sio lazima ku export vyakula ndo maana nikasema upande huo ukitazamwa vizuri basi kama kuna changamoto ni rahisi kutatuliwa
+255 714 122 011