Tumsifu sam
Member
- Jan 24, 2021
- 19
- 5
Hap n tatizo la fundi wako but unaweza kuwekewa rubber msq yakuzuia mbu ukitakaFundi wako hakuwa mzuri
Hap n tatizo la fundi wako but unaweza kuwekewa rubber msq yakuzuia mbu ukitakaFundi wako hakuwa mzuri
Sio mimi mkuu. Mimi ndio nimemwambia huyo kuwa fundi wake hakuwa mzuri.Hap n tatizo la fundi wako but unaweza kuwekewa rubber msq yakuzuia mbu ukitaka
Faida zake
1.gharama nafuu
2.yanavutia
Kufunguka ni vile wewe unataka. Unaweza kuweka yanayofunguka kwa bawaba. Pia unaweza kuweka ukubwa uutakao kupunguza
Ok, togetherSio mimi mkuu. Mimi ndio nimemwambia huyo kuwa fundi wake hakuwa mzuri.
Option Hizo unawez kuamua wew uendane na Hyo Bei niliYokupaMara nyingi kazi za mikoan huwa tunafanyia huko huko site mkuu, Kwa madirisha yako 5*5 ntakufanyia kwa 210000 tukifanyia hapo site, Ila tukifanyia ofisin nakuyaleta n 240000 mkuu
Ok, mkuu nimekuelewa nipigie kwa no;0652299341 juu ya kazOption Hizo unawez kuamua wew uendane na Hyo Bei niliYokupa
Kumbuka vent za milango 4 pia
Mtwara newala unawez kuleta Kaz , 5*5 kwa 200,000 yapo 17 pamoja na Vent za milango minne?
Mafundi wa kashata za kioo siwaoni siku hizi baada ya aluminium kuingia?Ingekuwa mimi, honestly nisingeweka aluminium, kwa jiji la Dar, joto lake na kiasi cha hewa kinachoruhusiwa na hizi sliding windows ni heri ubaki hivyo na hayo madirisha yako au uweke kashata za kioo.
Ningekuwa na hela ningeweka madirisha ya mbao.
Ingekuwa mimi, honestly nisingeweka aluminium, kwa jiji la Dar, joto lake na kiasi cha hewa kinachoruhusiwa na hizi sliding windows ni heri ubaki hivyo na hayo madirisha yako au uweke kashata za kioo.
Ningekuwa na hela ningeweka madirisha ya mbao.
Mafundi wa kashata za kioo siwaoni siku hizi baada ya aluminium kuingia?
TaboraDar, wewe uko wapi?
Uzuri wa madirisha ya aluminium yawe slide...Naomba kujuzwa je aluminium windows ni nzuri kwa mikoa kama Dar kutokana na hali yake ya hewa ua ni ushamba na ulimbukeni wa fasheni maana naishi kwenye nyumba ya madirisha ya aluminium lakini huwa natamani kuyang'ofoa na in fact kiyoyozi nacho kila wakati ni matatizo matupu labda wabuni madirisha ya aluminium yanayofunguka na siyo haya yanayofunguka kiduchu infact this is #shits ebu tusaidiane mawazo