Nahitaji kuweka madirisha ya aluminium kwenye nyumba hii

Mara nyingi kazi za mikoan huwa tunafanyia huko huko site mkuu, Kwa madirisha yako 5*5 ntakufanyia kwa 210000 tukifanyia hapo site, Ila tukifanyia ofisin nakuyaleta n 240000 mkuu
Option Hizo unawez kuamua wew uendane na Hyo Bei niliYokupa
Kumbuka vent za milango 4 pia
 
Ingekuwa mimi, honestly nisingeweka aluminium, kwa jiji la Dar, joto lake na kiasi cha hewa kinachoruhusiwa na hizi sliding windows ni heri ubaki hivyo na hayo madirisha yako au uweke kashata za kioo.

Ningekuwa na hela ningeweka madirisha ya mbao.
 
Ingekuwa mimi, honestly nisingeweka aluminium, kwa jiji la Dar, joto lake na kiasi cha hewa kinachoruhusiwa na hizi sliding windows ni heri ubaki hivyo na hayo madirisha yako au uweke kashata za kioo.

Ningekuwa na hela ningeweka madirisha ya mbao.
Mafundi wa kashata za kioo siwaoni siku hizi baada ya aluminium kuingia?
 
Vile unavyotaka ndivyo unavyowekewa....mafundi wapo...Ila ukiona huoni kazi unayotamani ifanyike kwako Mtafute fundi mpe maelekezo atakufanyia unavyotaka....
Ingekuwa mimi, honestly nisingeweka aluminium, kwa jiji la Dar, joto lake na kiasi cha hewa kinachoruhusiwa na hizi sliding windows ni heri ubaki hivyo na hayo madirisha yako au uweke kashata za kioo.

Ningekuwa na hela ningeweka madirisha ya mbao.
 
Naomba kujuzwa je aluminium windows ni nzuri kwa mikoa kama Dar kutokana na hali yake ya hewa ua ni ushamba na ulimbukeni wa fasheni maana naishi kwenye nyumba ya madirisha ya aluminium lakini huwa natamani kuyang'ofoa na in fact kiyoyozi nacho kila wakati ni matatizo matupu labda wabuni madirisha ya aluminium yanayofunguka na siyo haya yanayofunguka kiduchu infact this is #shits ebu tusaidiane mawazo
Uzuri wa madirisha ya aluminium yawe slide...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom