Nahitaji kuweka madirisha ya aluminium kwenye nyumba hii

Naomba kujuzwa je aluminium windows ni nzuri kwa mikoa kama dar kutokana na hali yake ya hewa ua ni ushamba na ulimbukeni wa fasheni maana naishi kwenye nyumba ya madirisha ya aluminium lakini huwa natamani kuyangofoa na in fact kiyoyozi nacho kila wakati ni matatizo matupu labda wabuni madirisha ya aluminium yanayofunguka na siyo haya yanayofunguka kiduchu infact this is #shits ebu tusaidiane mawazo
You have a point, nilikuwa sijafikiria hii hali!
 
Naomba kujuzwa je aluminium windows ni nzuri kwa mikoa kama dar kutokana na hali yake ya hewa ua ni ushamba na ulimbukeni wa fasheni maana naishi kwenye nyumba ya madirisha ya aluminium lakini huwa natamani kuyangofoa na in fact kiyoyozi nacho kila wakati ni matatizo matupu labda wabuni madirisha ya aluminium yanayofunguka na siyo haya yanayofunguka kiduchu infact this is #shits ebu tusaidiane mawazo
Yanaingiza mbu inbetwwen kioo na nyavu yakiwa yamefunguliwa sina hamu nayo

Kingsmann
 
Ni mazuri ila kero yake ni hiyo. Hivi wakati wa kufunga hakuna namna ya kuya-design kudhibiti mbu kupenya?
 
Faida zake
1.gharama nafuu
2.yanavutia

Kufunguka ni vile wewe unataka. Unaweza kuweka yanayofunguka kwa bawaba. Pia unaweza kuweka ukubwa uutakao kupunguza joto.
Hii ya bawaba si ndiyo ule mfumo wa zamani? Nimeshindwa kupata mafundi! Kama Kuna fundi unamjua nipe connection nimsililize tafadhali.
 
Mkuu me Ni fundi alluminium nipo dar es salaam.Nimeona madirisha yako ukitaka kuweka madirisha ya alluminium inawezekana.
Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox.
 
Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox
Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox.

Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox.

Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox.

Kulingana na Changa moto zilizotajwa hapa, naanza kufikiria kuweka kashata za vioo tu vinavyofunguka, yaani Ile design ya zamani, je unaweza, kama vipi njoo inbox.
Ok, nimekuelewa kitalamu hayo madirisha ya kufunguka kwa nje tunaita OPEN WINDOW. Kwa mawasiliano zaid nipigie no; 0652299341
 
Nafasi hiyo Alluminium haitoshi....nicheki hapa tupige urembo wa dirisha na tuweke Aluminium kwa bei ya kizalendo na Aluminium itakaa fresh 0789005562

Na bei za Aluminium ni hizi


Bei za aluminum ni kulingana na ukubwa wa dirisha
4*4=170000
4*5=200000
5*5=230000
5*6=260000
6*6=280000

Hii ni pamoja na Kuliweka kabisa! Karibu chief...Tupo Temeke Dsm

Simu 0789 005562

Kwa sample za kazi Njoo kwa wasap kwa namba hiyo juuView attachment 1682100View attachment 1682101View attachment 1682103
Mtwara newala unawez kuleta Kaz , 5*5 kwa 200,000 yapo 17 pamoja na Vent za milango minne?
 
Faida zake
1.gharama nafuu
2.yanavutia

Kufunguka ni vile wewe unataka. Unaweza kuweka yanayofunguka kwa bawaba. Pia unaweza kuweka ukubwa uutakao kupunguza joto.
Hoja yake ya joto la Dar na umeme kukatika hujamjibu...
 
Mtwara newala unawez kuleta Kaz , 5*5 kwa 200,000 yapo 17 pamoja na Vent za milango minne
Mtwara newala unawez kuleta Kaz , 5*5 kwa 200,000 yapo 17 pamoja na Vent za milango minne?
Mara nyingi kazi za mikoan huwa tunafanyia huko huko site mkuu, Kwa madirisha yako 5*5 ntakufanyia kwa 210000 tukifanyia hapo site, Ila tukifanyia ofisin nakuyaleta n 240000 mkuu
 
Nafungua saa 3 usiku, wanakua wamepungua kidogo, japo ndani ni mwendo wa kupulizia dawa daily, ni ya kero sana
Haya madirisha kiukweli yanataka uwe na AC plus standby generator ili yawe yanafungwa all the time na kwa joto la Dar AC full kipupwe... Short of that ni shidaaa....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom