CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Yaani nimesoma hizi post, matatizo matupu; watu hawajui hata unataka kufanya nini.. wameshaanza kuongelea 3 Cs? motivations? outlets? storage? WTF?
Mrimi,
kitu cha KWANZA kabisa inatakiwa UJUE nini unataka kufanya; haya mambo ya 3 Cs, sijui website, sijui ofisi rent, sijui simu za biashara, sijui leadership na book keeping YATAFUATA! wewe tueleze kwanza unataka kufanya nini?
hawa watu wanaokupa ushauri hapa, wamesoma articles tu na sidhani kuna mtu hata mmoja hapa amefanya biashara; sasa kama ukiona hakuna tatizo (i am aware of patent issues and copyrights), tueleze ni biashara gani unataka kufanya alafu ndio tutaanzia hapo kukushauri!? you dont need to read any article at this very moment;
Wewe ndo mptoshajia namba moja na wewe ndo huju unacho sema, tuambie wewe unafanya biashara gani basi, Basi wewe mwambie afanye nini au ungekuja na maelezo yako hapa kinacho takiwa ni michango na si kupondea michango ya watu.
Na hapa jukwaani watu wanajitahidi kumweleza mtu jinsi ya kufanya biashara kitalaamu ili akafanikiwe, hata kama atakuja na aidea ya kufa mtu je kama hayuko Commited atafanya nini? niambie kama huko commited utafanya kitu gani. Je kama huna uwezo wa pesa/mtaji wa kufanya hiyo baish ara utafanya nini? si ndo kuishia kusema nini aidea nzuri lakini sina mtaji? Je kama ana uoga wa kufanya biashara atafanya vipi? atafanikiwa vipi akiwa ni muoga? hiyo aidea yake ataisimamia vipi?
Basi kama wewe umeshamfanyia hadi enveronmental analysis mwambie afanye biashara gani na si kuleta siasa hapa.
Na jambo jingine wakati wa sasa hivi sio wa miaka ya 90 wala 2000 mwanzoni, huu ni wakati wa ushindani wa hali ya juu na lazima unavyo ingia kwenye baishara uwe umejipanga, tunaishia kuwalalamikia wakenya kumbe sisi ndo tufanya mambo ya ajabu sana,
Wafanya biashara wengi waliofanikiwa ukiwachunguza wana hizo three Cs ingawahata wao wenyewe wanaweza wasizijue ni nini, na kuwa na three Cs si lazima uzifahamu ila kimatendo tu ndo unaweza fahamika kwamba wewe uko hivyo
Na mtoa maada amesema anahitaji aidea sasa watu si wanampa Aidia wewe unataka wampe nini?