cetterhutter
Senior Member
- Sep 5, 2017
- 167
- 75
Naombeni msaada wa maelekezo. Nilikuwa nikitumia simu za Android muda mrefu sasa nimeona nihamie kwenye iPhone. Kutokana na kipato changu nimewaza kununua iPhone 6s Plus kwa hiyo naomba mliowahi na mnaotumia iPhone nipeni maelekezo haya:
(1) Nitajuaje kama simu ni original
(2) Nitakuaje kama simu bado haijafunguliwa
(3) Nitakuaje kama battery ya simu haijachoka
Naomba kuyajua haya kabla sijanunua.
(1) Nitajuaje kama simu ni original
(2) Nitakuaje kama simu bado haijafunguliwa
(3) Nitakuaje kama battery ya simu haijachoka
Naomba kuyajua haya kabla sijanunua.