BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,245
Heshima kwenu wakuu.
Mimi ni kijana mwanaume ambaye nina miaka 2 toka nianze kazi.
Lakini nilioanza nao kazi wametoka mashavu balaa ila mimi ndo kwanza nazidi kupungua wakati nakula vizuri ila pombe situmii.
Ushauri wenu tafadhali na kama kuna njia mbadala ya mimi kuweza kujazia.
Mimi ni kijana mwanaume ambaye nina miaka 2 toka nianze kazi.
Lakini nilioanza nao kazi wametoka mashavu balaa ila mimi ndo kwanza nazidi kupungua wakati nakula vizuri ila pombe situmii.
Ushauri wenu tafadhali na kama kuna njia mbadala ya mimi kuweza kujazia.