Nahitaji kununua vifaa vya stationery

Nahitaji kununua vifaa vya stationery

Acha Dhambi

Senior Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
147
Reaction score
46
Nakusudia kufungua stationery huku kijijini kabla ya kununua vifaa naomba ushauri kwa ujuzi, mafundi wauzaji au yeyote.

Mashine ya copy nawaza IR inayo print scan na copy pande mbili kugeuza yenyewe print na vifaa vingine pia wauzaji wa rimu kwa jumla.

Tuwasiliane
 
Back
Top Bottom