Amjadey
Member
- Jun 29, 2011
- 83
- 31
Habari wakuu
Yeyote ambae anauza Pikipiki aina ya Boxer au TVS iliyotumika sio zaid ya mwaka mmoja. Engine CC150 itapendeza ikikosekanwa ata cc125.
Isiwe imewahi kufanyiwa matengenezo kwenye engine (engine haijaguswa)
Ninahitaji tafadhali DM. Nikutafute
Nipo DSM
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeyote ambae anauza Pikipiki aina ya Boxer au TVS iliyotumika sio zaid ya mwaka mmoja. Engine CC150 itapendeza ikikosekanwa ata cc125.
Isiwe imewahi kufanyiwa matengenezo kwenye engine (engine haijaguswa)
Ninahitaji tafadhali DM. Nikutafute
Nipo DSM
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app